KYELA YETU
Wilaya ya Kyela ni wilaya moja ya Mkoa wa Mbeya.
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa
wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 174,470 [1] . Makao
makuu yapo Kyela Mjini.
Marejeo
Tanzania.go.tz/census
Kata za Wilaya ya Kyela – Mkoa
wa Mbeya - Tanzania
★Bujonde
★Busole
★Ikama
★Ikolo
★Ipande (Kyela)
★Ipinda
★Kajunjumele
★Katumba Songwe
★Kyela Mjini
★Lusungo
★Makwale
★Matema
★Mwaya
★Ngana
★Ngonga
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kyela??
kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni wa watu wa kyela?
KARIBU KYELA.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni