Alhamisi, 19 Machi 2015

Ijue wilaya yetu

KYELA YETU

Wilaya ya Kyela ni wilaya moja ya Mkoa wa Mbeya.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa

wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 174,470 [1] . Makao

makuu yapo Kyela Mjini.

Marejeo

 Tanzania.go.tz/census

Kata za Wilaya ya Kyela – Mkoa

wa Mbeya - Tanzania

★Bujonde 

★Busole

 ★Ikama 

★Ikolo

★Ipande (Kyela) 

★Ipinda 

★Kajunjumele

★Katumba Songwe 

★Kyela Mjini 

★Lusungo

★Makwale

★Matema

★Mwaya

★Ngana

★Ngonga

Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kyela??

kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni wa watu wa kyela?


KARIBU KYELA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni